• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

ASKOFU DKT. MALASUSA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UMEME IJANGALA-MAKETE

Tarehe Iliyowekwa: May 24th, 2023

Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dkt. Alex Malalusa wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania ameweka jiwe la Msingi ujenzi wa Mradi wa Umeme Ijangala Wilayani Makete.

Askofu Dkt. Malasusa ameweka jiwe hilo leo Mei 24, 2023 kwa niaba ya Askofu Dkt. Fredrick Shoo Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, mradi huo unajengwa Kijiji cha Masisiwe Kata ya Ukwama Jimbo la Tandala Dayosisi ya Kusini Kati.

Askofu Dkt. Malalusa amewapongeza Viongozi wa KKKT-DKK kwa ubunifu wa miradi ikiwemo mradi huo wa Umeme Ijangala

Askofu wa KKKT-DKK Wilson Sanga amesema lengo la Dayosisi ni kuwafanya watu wamjue Mungu kwa Maneno na Vitendo ambapo mradi huo utatoa huduma za Kijamii kama sehemu ya wajibu wake kwa wanajamii

Mkurugenzi wa Mradi huo Elikana Kitahenga amesema upatikanaji wa Umeme wa Uhakika kwa Jamii ni nguzo muhimu ya ukuaji wa Uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja

Mwakilishi wa REA Mhandisi Hamisi Mrope amesema Serikali inaendelea kushirikiana na wazalishaji wadogo wa Umeme kuhakikisha huduma ya upatikanaji wa Umeme inawafikia wananchi wote mpaka vijijini kuangaza maisha ya watu

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA ULINZI MAKETE March 24, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA ZA UALIMU NA AFYA April 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA MAKETE DC April 17, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAUMINI KKKT-DAYOSISI YA KUSINI MAGHARIBI WAMUOMBEA DC SWEDA APONE MAPEMA

    May 28, 2023
  • RAIS SAMIA KUIPATIA MAKETE BILIONI 2.1

    May 24, 2023
  • ASKOFU DKT. MALASUSA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UMEME IJANGALA-MAKETE

    May 24, 2023
  • KAMATI YA LISHE YAKUTANA KUJADILI TAARIFA YA UTEKELEZAJI SHUGHULI ZA LISHE MAKETE

    May 19, 2023
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAKETE DC Online TV
  • MAKETE DC Instagram page
  • PLANREP
  • MAKETE DC Facebook page
  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)
  • BEMIS
  • HIMS
  • FFARS

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV
  • Baraza la Mitihani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MAKETEDC . All rights reserved.