• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TASAF YAANZA UTAMBUZI WA WALEMAVU KWENYE KAYA MASKINI

Tarehe Iliyowekwa: November 4th, 2022

Mpango wa kunusuru Kaya maskini TASAF Wilaya ya Makete umeendesha mafunzo kwa maafisa Ustawi wa Jamii na Maendeleo  ya Jamii ( wawezeshaji wa TASAF kwa Wilaya) kwa lengo la kwenda kufanya uhakiki kwa walemavu walioko kwenye Kaya za wanufaika wa TASAF

Mafunzo hayo yamefanyika ukumbi wa mji mdogo Iwawa Kata ya Iwawa kwa muda wa siku mbili tarehe 2-3 Novemba, 2022.

Zoezi la kuhakikia walemavu walipo kwenye Kaya zinazonufaika na TASAF limeanza tarehe 4 Novemba, 2022 na linatarajia kukamilika tarehe 6 Novemba, 2022, zoezi hilo linafanyika katika Kata zote 23 za Wilaya ya Makete.

Mwezeshaji katika mafunzo hayo ni Yassin Mkwepu Afisa kutoka TASAF Makao Makuu amesema kuwa TASAF imeandaa utaratibi wa kuhakiki Kaya zote zenye watu wenye ulemavu kupitia mikutano ya Vijiji/Mitaa/Shehia kwa usimamizi wa wawezeshaji kutoka mamlaka za maeneo ya utekelezaji kwa kuzingatia vigezo.

Pia Mkwepu ameeleza kuwa watu wenye ulemavu wanaohakikiwa ni wale ambao walijaziwa taarifa zao wakati wa zoezi la utambuzi wa Kaya Maskini.

Vigezo vya uhakikia vitazingatia watu wenye ulemavu wa Viungo, Ulemavu wa kuona, Ualbino, Ulemavu wa kusikia/kiziwi na ulemavu wa akili/ugonjwa wa akili.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA ULINZI MAKETE March 24, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA ZA UALIMU NA AFYA April 12, 2023
  • TANGAZO LA AJIRA MAKETE DC April 17, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAUMINI KKKT-DAYOSISI YA KUSINI MAGHARIBI WAMUOMBEA DC SWEDA APONE MAPEMA

    May 28, 2023
  • RAIS SAMIA KUIPATIA MAKETE BILIONI 2.1

    May 24, 2023
  • ASKOFU DKT. MALASUSA AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UMEME IJANGALA-MAKETE

    May 24, 2023
  • KAMATI YA LISHE YAKUTANA KUJADILI TAARIFA YA UTEKELEZAJI SHUGHULI ZA LISHE MAKETE

    May 19, 2023
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAKETE DC Online TV
  • MAKETE DC Instagram page
  • PLANREP
  • MAKETE DC Facebook page
  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)
  • BEMIS
  • HIMS
  • FFARS

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV
  • Baraza la Mitihani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MAKETEDC . All rights reserved.