• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WAKAZI WA KIPAGALO WASHAURIWA KUJITOA KWA MOYO WOTE, ILI MRADI WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA UKAMILIKE KWA WAKATI

Tarehe Iliyowekwa: April 15th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete, Mhe. Christopher Y. Fungo, leo Aprili 15, 2024, akiwa ameongozana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Ndg. William M. Makufwe, wamefanya ziara katika Kata ya Kipagalo, ili kujionea maandalizi ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Kipagalo.

Akizungumza katika ziara hiyo, Mhe. Fungo, ameishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwapatia fedha kwaajili ya ujenzi wa Kituo hicho cha Afya Kipagalo, ambacho kitajengwa kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii, TASAF.

Aidha, Mhe. Fungo, amewataka wananchi wa Kata hiyo, kujitoa Kwa moyo katika kuchangia nguvu kazi kulingana na miongozo ya TASAF inavyotaka, ili kuleta wepesi katika utekelezaji wake.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete, Ndge. William M. Makufwe, ameitaka, Kamati ya Usimamizi ngazi ya Jamii,(CMC), kushirikiana na uongozi wa kata na kijiji ili waweze kupanga ratiba ya kazi za utekelezaji wa mradi huo.

Sambamba na hayo, Ndg. Makufwe, ameiagiza, CMC, kuhakikisha kuwa, wanadhibiti upotevu wa vifaa vya ujenzi, kwa kuweka utaratibu mzuri wa usimamizi na ulinzi wa vifaa hivyo na kufuata maelekezo ya wataalam kutoka halmashauri.

Akizungumza kwa niaba ya Wananchi, Diwani wa Kata ya Kipagalo, Mhe. Nehemiah Kayanda Sanga, ameishukuru serikali kwa kuwapelekea mradi huo ambao utakuwa mkombozi kwa wakazi wa Kata hiyo na Vijiji jirani.

Aidha, Mhe. Sanga ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete, kwa kuitembelea Kata hiyo, ili kujionea maandalizi ya ujenzi wa Kituo hicho cha Afya cha Kata ya Kipagalo.

Ikumbukwe kuwa, mradi huo wa Ujenzi wa Kituo hicho cha Afya cha Kata ya Kipagalo, utatumia kiasi cha shilingi za kitanzania milioni 805, ikiwa ni Fedha kutoka TASAF. 


Imeandaliwa na: 

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, 

Halmashauri ya Wilaya ya Makete.













ReplyForward


Add reaction










Matangazo

  • MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 August 15, 2024
  • TANGAZO LA KUSUDIO LA KUTUNGA SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE YA MWAKA 2025 January 24, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MAKETE DC YAPATA HATI SAFI, KUTOKA KWA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

    June 18, 2025
  • DED MWAGA AWATAKA WASIMAMIZI WA MIRADI YENYE FEDHA KUKAMILIKA KWA WAKATI

    June 05, 2025
  • DED MWAGA AWATAKA WANANCHI KUSHIRIKI KWENYE MIRADI KIKAMILIFU

    June 04, 2025
  • MAKETE IPO TAYARI KWA BBT

    May 26, 2025
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)
  • PLANREP
  • MAKETE DC Online TV
  • BEMIS
  • HIMS
  • MAKETE DC Facebook page
  • FFARS
  • MAKETE DC Instagram page

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV
  • Baraza la Mitihani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MAKETEDC . All rights reserved.