• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

PIKIPIKI ZAKABIDHIWA MAKETE

Wednesday 29th, March 2023
@HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE

Mkuu wa Wilaya ya Makete Mh. Juma Sweda amewataka Maafisa Ugani Wilayani Makete kufanya kazi na wakulima kwa lengo la kuwasaidia kuongeza tija kwenye uzalishaji wa mazao.

Amesema hayo wakati wa makabidhiano ya pikipiki 69 zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao leo tarehe 20 juni 2022 kwenye ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Makete.

Mh. Sweda amesema maafisa ugani hao wanapaswa kutumia pikipiki hizo kwa kuzingatia maadili ya utumishi na kuhakikisha lengo la Serikali linatimia kwa kuwahudumia wananchi.

“Niwasihi maafisa ugani wote matumizi ya pikipiki hizi yawe sahihi na tukibaini unafanya kazi ya kubeba abiria badala ya kwenda shambani kuwahudumia wakulima, hapo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yako”

“Asilimia 70 ya watanzania tunategemea kilimo ambacho ndio uti wa mgongo kwenye Taifa letu, Rais Samia Suluhu Hassan ameona umuhimu wa kuwasaidia wakulima sasa tafadhali msimuangushe kwenye jambo hili” ameongeza Mh. Sweda

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Makete Ndg. William Makufwe ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kugawa pikipiki hizo kwa maafisa ugani nchini.

“Pikipiki hizi zinagawiwa kwa maafisa ugani 69 wote ndani ya wilaya yetu lakini hapo awali tulikuwa na pikipiki 21 tu, napenda kumshukuru Rais kwa kuwajali maafisa ugani ambao sasa wataweza kuwafikia wakulima tena mkulima mmoja mmoja ili kujua changamoto zao, kuwapa ushauri na melekezo sahihi ya kilimo katika Wilaya yetu na maeneo mengine”

Awali akisoma taarifa fupi Afisa kilimo Wilaya ya Makete Ndg. Aniseti Ndunguru amesema Wizara ya Kilimo imetoa pikipiki hizo ikiwa na lengo la kuwawezesha maafisa ugani ili waweze kuwafikia wakulima na kutoa elimu ya kilimo bora.

“Tunatarajia tutapata takwimu sahihi za uzalishaji, kilimo chenye tija na biashara huku tukitarajia kuongezeka kwa uzalishaji wa mazao ya Kilimo kwa asilimia 10 mpaka ifikapo mwaka 2030 kwa uimarishaji unaofanywa na serikali upande wa Kilimo”

Afisa Ugani Kata ya Itundu ndg. Steven Ngoloka kwa niaba ya maafisa Ugani Wilaya ya Makete ameishukuru Serikali kwa kugawa pikipiki hizo ambazo amesema zinakwenda kubadilisha kilimo kwa wanamakete kuanzia sasa.

“Pikipiki hizi zitatufanya tufike kwa wakulima wengi zaidi, haraka na kuweza kuwasikiliza wakulima wetu changamoto zinazowakabili na kuzitatua mapema, tunaishukuru Serikali kwa kutambua umuhimu wetu kwa wakulima na tuihakikishie Serikali kuleta mapinduzi makubwa kwenye Kilimo”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA ULINZI MAKETE March 24, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI YA UDEREVA March 23, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI IPO TAYARI KUPOKEA USHAURI WA MAAFISA HABARI-WAZIRI MKUU

    March 27, 2023
  • KIKAO KAZI CHA 18 CHA MAAFISA HABARI, UHUSIANO NA MAWASILIANO WA SERIKALI 2023

    March 27, 2023
  • UZINDUZI WA CHANGOCHAATA MAKETE

    March 25, 2023
  • 222 WABAINIKA NA KIFUA KIKUU MAKETE

    March 24, 2023
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAKETE DC Online TV
  • MAKETE DC Instagram page
  • PLANREP
  • MAKETE DC Facebook page
  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)
  • BEMIS
  • HIMS
  • FFARS

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV
  • Baraza la Mitihani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MAKETEDC . All rights reserved.