• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA MKOA WA NJOMBE AMPONGEZA MKURUGENZI KWA UBUNIFU

Tarehe Iliyowekwa: March 8th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewapongeza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa ubunifu wa miradi mbalimbali ikiwemo kilimo cha zao la Ngano.

Pongezi hizo alizitoa Machi 7, 2023 akiwa kwenye Kikao kazi kati ya Maafisa Ugani na Kilimo sambamba na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo SUA.

Mhe. Mtaka amesema ubunifu wa Miradi unaofanywa na Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete ni wa Kipekee ukilinganisha na uhalisia wa Ukusanyaji Mapato ambao pia umeendelea kuongezeka kila siku.

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Makete Wiliam Makufwe alisema Halmashauri imetenga zaidi ya shilingi Milioni 200 kwa mwaka wa fedha 2023/24 kwa ajili ya mkakati wa kuongeza tija ya uzalishaji wa zao la Ngano Makete.

Kwa upande wao Wanafunzi wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo SUA Morogoro walishukuru kwa mapokeo mazuri waliyoyapata kutoka Halmashauri ya Wilaya Makete na kuahidi kuwa watawasaidia wakulima wa Wilaya ya Makete ili kuleta mabadiliko yenye tija katika zao la Ngano.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA ULINZI MAKETE March 24, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI YA UDEREVA March 23, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI IPO TAYARI KUPOKEA USHAURI WA MAAFISA HABARI-WAZIRI MKUU

    March 27, 2023
  • KIKAO KAZI CHA 18 CHA MAAFISA HABARI, UHUSIANO NA MAWASILIANO WA SERIKALI 2023

    March 27, 2023
  • UZINDUZI WA CHANGOCHAATA MAKETE

    March 25, 2023
  • 222 WABAINIKA NA KIFUA KIKUU MAKETE

    March 24, 2023
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAKETE DC Online TV
  • MAKETE DC Instagram page
  • PLANREP
  • MAKETE DC Facebook page
  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)
  • BEMIS
  • HIMS
  • FFARS

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV
  • Baraza la Mitihani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MAKETEDC . All rights reserved.