• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UTOAJI WA ELIMU KUHUSU MIKOPO YA WANAWAKE NA VIJANA

Tarehe Iliyowekwa: February 15th, 2023

Wataalamu kutoka Idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya Makete wameanza utoaji wa Elimu kuhusu mikopo inayotarajiwa kuanza kutolewa na Serikali kwa Wanawake na Vijana kote nchini

Utoaji wa Elimu hiyo umeanza katika Kata ya Ipepo, Lupila na Mbalatse ambapo wananchi kutoka vijiji vyote vya Kata hizo wamehudhuria kwenye mikutano kusikiliza utoaji wa Elimu hiyo.

Afisa Maendeleo kutoka Idara ya Maendeleo ya Jamii Elizabeth Sanga akizungumza na wananchi wa Kata ya Ipepo amesema Serikali imekusudia kutoa mikopo kwa Wanawake kuanzia Shilingi sifuri hadi Milioni 50 kupitia mtu mmoja mmoja, vikundi, Saccos na Makampuni mbalimbali ya Wanawake na Vijana.

Akielezea zaidi kuhusu mikopo hiyo Sanga amesema itatolewa ndani ya siku 30 baada ya kuwasilishwa Wizarani huku ikiwa na riba ya 4% wakati wa urejeshaji wa mkopo husika.

Ndg. Henry Nyigu Afisa Maendeleo, akizungumza na wananchi hao kwa nyakati tofauti Kata ya Ipepo, Lupila na Mbalatse amesema Wanawake na Vijana wanapaswa kutumia fursa hiyo ya mikopo ili kujikwamua kichumi mara tu baada ya zoezi la utoaji Elimu kukamilika huku akiwaasa vijana kujikita katika shughuli za kimaendeleo ikiwemo Kilimo na Biashara

Mikopo hiyo kwa Vijana itatolewa kuanzia Shilingi sifuri hadi Milioni 50 kwa Makampuni, Vikundi na hata kijana mmoja mmoja ambapo mkopo huo kwa Vijana utakuwa na riba ya 5%

Efransia Mwasanga Afisa Maendeleo ya Jamii amesema ujio wa Mikopo hiyo ni fursa zaidi kwani Halmashauri imekuwa ikitoa mikopo bila riba kwa Wanawake, Vijana na watu Walemavu lakini hii ni mikopo ambayo inariba kidogo na itarudishwa ndani ya Miaka mitatu.

Matangazo

  • MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 August 15, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA - UTOLEWAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI 2025-2026 November 16, 2025
  • MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 September 01, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED MWAGA AAGIZA KUKAMILISHA MIRADI KWA HARAKA

    November 26, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI MAKETE DC , JERRY MWAGA, AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII

    November 13, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MAKETE MHE. KISSA KASONGWA AWATAKA WAFANYABISHARA WILAYANI HUMO KUWEKEZA NYUMBANI

    November 12, 2025
  • DED MWAGA AONGOZANA NA MENEJA TARURA KUKAGUA BARABARA YA MANG'OTO IBAGA

    November 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)
  • PLANREP
  • MAKETE DC Online TV
  • BEMIS
  • HIMS
  • MAKETE DC Facebook page
  • FFARS
  • MAKETE DC Instagram page

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV
  • Baraza la Mitihani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MAKETEDC . All rights reserved.