• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

UTOAJI WA ELIMU YA LISHE

Tarehe Iliyowekwa: March 14th, 2023

Katika zoezi la utoaji wa elimu ya afya na lishe linaloendelea Wilayani Makete  Mkoani Njombe, Afisa lishe akiwa katika Kijiji cha Mang’oto  Kata ya Mang'oto amewaasa wananchi kuzingatia lishe bora kwa Watoto 

Akizungumza na wazazi waliofika kupata elimu hiyo Afisa Lishe wa Wilaya ya Makete Jackline Nanauka amesema lishe bora kwa mtoto ni muhimu wakati wote na kuwasihi wazazi kutumia vyakula vya kujenga mwili kwa watoto ili wawe na afya njema

Nanauka ameongeza kuwa lishe duni inapelekea watoto kuwa na utapiamlo, kupata magonjwa ya Mara kwa mara, kukosa afya njema, uwezo wa akili kuwa mdogo na kujenga mwili hafifu katika maisha yake "hapo je"


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA ULINZI MAKETE March 24, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI YA UDEREVA March 23, 2023
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI IPO TAYARI KUPOKEA USHAURI WA MAAFISA HABARI-WAZIRI MKUU

    March 27, 2023
  • KIKAO KAZI CHA 18 CHA MAAFISA HABARI, UHUSIANO NA MAWASILIANO WA SERIKALI 2023

    March 27, 2023
  • UZINDUZI WA CHANGOCHAATA MAKETE

    March 25, 2023
  • 222 WABAINIKA NA KIFUA KIKUU MAKETE

    March 24, 2023
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAKETE DC Online TV
  • MAKETE DC Instagram page
  • PLANREP
  • MAKETE DC Facebook page
  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)
  • BEMIS
  • HIMS
  • FFARS

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV
  • Baraza la Mitihani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MAKETEDC . All rights reserved.