• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI WANNE WAFUKUZWA KAZI MAKETE

Tarehe Iliyowekwa: September 28th, 2022

Waliokuwa watumishi wanne (4) katika Halmashauri ya Wilaya ya Makete wamefukuzwa kazi kwa ubadhirifu wa fedha za Mapato ya ndani na mmoja ni utoro kazini na kuisababishia hasara Serikali.

Maamuzi hayo ni kufuatia Kikao maalumu cha Baraza la Madiwani lilikutana leo kujadili maadili ya watumishi zaidi ya 60 ambapo kati ya hao watumishi wanne wamefutwa kazi na watumishi watano (5) wameagizwa kukatwa mishahara yao 15% kwa mwaka mmoja, wengine miaka miwili na mmoja miaka mitatu

Watumishi waliofukuzwa kazi ni aliyekuwa Mtendaji Kata ya Mbalatse Omega Aloyce Thobias ambaye amefukuzwa kwa utoro kazini kwa kipindi cha siku 214.

Watumishi wengine ni waliokuwa watendaji wa vijiji ambao ni Bryson Isaack Sanga aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Ludihani, Godwin Jacob Luvanda aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Ikuwo na Tumaini Shem Ngogo aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Kigala

KUTAZAMA VIDEO BONYEZA HAPA

Watendaji hao watatu wamefukuzwa kwa ubadhirifu wa fedha za mapato ya ndani ambapo Tumaini Ngogo amekusanya fedha zaidi ya Milioni 44 na kupeleka Bank.

Akizungumza na waandishi wa Habari baada ya Kikao hicho, Mkueugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Makete William M. Makufwe amesema kufuatia kubainika na makosa watumishi hao wamefutwa kazi kuanzia sasa.

“Niwasihi watumishi wengine tuliopo kazini zama za kutumia fedha za makusanyo zikiwa chini ya makusanyo yao zimeshapitwa na wakati na unakamatwa wakati wowote…ukikusanya kuanzia shilingi laki tano hakikisha fedha hizo zinakuwa salama kwa kupeleka Bank ili waepuke kingia kwenye vishawishi vya wizi wa fedha hizo”.

“Kuhusu huyu Mtumishi ambaye amekuwa mtoro kwa kipindi cha zaidi ya siku 200 naye amefukuzwa kazi kwa kutokuwepo kazini wakati taratibu zote za kumfuta kazi zimefanyika kwa kufuata sheria za utumishi”

Kwa niaba ya Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri (W), Diwani Kata ya Mfumbi Mhe. Atilyo Ng’ondya amesema watumishi wanapaswa kuwa makini na matumizi ya fedha za Serikali kwa kuwa Serikali ina mkono mrefu na vyombo vingi katika kuwasimamia watumishi wake.

Matangazo

  • MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 August 15, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA - UTOLEWAJI WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI 2025-2026 November 16, 2025
  • MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 September 01, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • DED MWAGA AAGIZA KUKAMILISHA MIRADI KWA HARAKA

    November 26, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI MAKETE DC , JERRY MWAGA, AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII

    November 13, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MAKETE MHE. KISSA KASONGWA AWATAKA WAFANYABISHARA WILAYANI HUMO KUWEKEZA NYUMBANI

    November 12, 2025
  • DED MWAGA AONGOZANA NA MENEJA TARURA KUKAGUA BARABARA YA MANG'OTO IBAGA

    November 12, 2025
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)
  • PLANREP
  • MAKETE DC Online TV
  • BEMIS
  • HIMS
  • MAKETE DC Facebook page
  • FFARS
  • MAKETE DC Instagram page

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV
  • Baraza la Mitihani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MAKETEDC . All rights reserved.