• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Huduma za afya

Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii

Mfuko wa Afya ya Jamii

Halmashauri ya Wilaya ya Makete ni miongoni mwa Halmashauri nchini zinazotekeleza mpango wa uchangiaji wa gharama za afya ujulikanao kama mfuko wa Afya ya jamii.

Mfuko wa Afya ya Jamii CHF/TIKA ni mpango wa uchangiaji huduma za matibabu kwa kaya kabla ya kuugua.

Mpango huu unalenga katika kufanikisha azma ya serikali kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma bora za afya na wanazozimudu na kwa usawa

Lengo la Mpango

Mpango huu ulibuniwa kwa lengo la kuwaepusha wananchi walio wengi na utaratibu wa kuchangia fedha kwa utaratibu wa papo kwa papo kila mara wanapougua au kuuguliwa katika kipindi ambacho hawana fedha.

Walengwa wa Mpango na nani?

Mpango unalenga wananchi wote ambao hawasajiliwa na mifuko mingine ya Afya na ambao hawapo katika sekta rasmi.

Manufaa ya kujiunga na CHF/TIKA

Miongoni mwa manufaa yanayopatikana kwa kujiunga na mfuko wa afya ya jamii ni yafuatayo:-

  • Watu sita katika kaya watapata matibabu katika vituo vya afya na zahanati za jirani kwa mwaka mzima kwa gharama Tsh. 10,000 pekee.
  • Familia inapata uhakika wa kupata matibabu muda wote ndani ya mwaka mzima hata wakati fedha haipo
  • Kaya inaepuka na malipo ya papo kila mwanakaya anapougua.
  • Kaya iliyo na wanakaya zaidi zaidi ya sita wanafursa ya kulipia waliozidi katika idadi hiyo.

Makundi mengine yaliyo na fursa ya kujiunga na CHF/TIKA

Wanavyuo na wanafunzi walio masomoni na hawajasajiliwa katika mifuko mingine ya bima ya afya.

Wapi utajiunga/Kujiandikisha?

Kila mkuu wa kaya afike katika kituo cha afya au zahanati iliyo jirani asajiri na kupewa kadi itakayowezesha kaya yake kutibiwa kila wanapougua.

Matangazo

  • MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025 August 15, 2024
  • TANGAZO LA KUSUDIO LA KUTUNGA SHERIA NDOGO YA ADA NA USHURU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE YA MWAKA 2025 January 24, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SHAMBA LA MIFUGO LA KITULO, LASIFIWA KWA UZALISHAJI MZURI WA MITAMBA KWAAJI YA MAZIWA HAPA NCHINI

    July 04, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE YATOA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 401,402,000.00 KWA VIKUNDI 25.

    July 04, 2025
  • MAKETE DC YAPATA HATI SAFI, KUTOKA KWA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

    June 18, 2025
  • DED MWAGA AWATAKA WASIMAMIZI WA MIRADI YENYE FEDHA KUKAMILIKA KWA WAKATI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)
  • PLANREP
  • MAKETE DC Online TV
  • BEMIS
  • HIMS
  • MAKETE DC Facebook page
  • FFARS
  • MAKETE DC Instagram page

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV
  • Baraza la Mitihani

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2021 MAKETEDC . All rights reserved.