• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Malalamiko |
    • Barua pepe za Watumishi |
Makete District Council
Makete District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Makete

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, takwimu na ufuatiliaji
      • Ujenzi
      • Usafi na mazingira
      • Finance and Trade
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na maendeleo ya vijana, wazee na watoto
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Agriculture, irrigation and Coorparation
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia ya habari na mawasiliano
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Mifugo na nyuki
    • Utalii
    • Viwanda
    • Nishati ya umeme
    • Maliasili
    • Usambazaji maji
    • Elimu
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
      • Elimu sekondari
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • madiwani
    • orodha ya madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Finance, Planing and Administration
      • Elimu, afya na maji
      • Economic, Works and Envornment
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba ya vikao vya halmashauri
      • Ratiba ya vikao vya Halmashauri
      • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri kuonana na wananchi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogondogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango mkakati
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
      • Kauli ya Serikali kuhusu 1.5 Trioni
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Huduma za afya

Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii

Mfuko wa Afya ya Jamii

Halmashauri ya Wilaya ya Makete ni miongoni mwa Halmashauri nchini zinazotekeleza mpango wa uchangiaji wa gharama za afya ujulikanao kama mfuko wa Afya ya jamii.

Mfuko wa Afya ya Jamii CHF/TIKA ni mpango wa uchangiaji huduma za matibabu kwa kaya kabla ya kuugua.

Mpango huu unalenga katika kufanikisha azma ya serikali kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma bora za afya na wanazozimudu na kwa usawa

Lengo la Mpango

Mpango huu ulibuniwa kwa lengo la kuwaepusha wananchi walio wengi na utaratibu wa kuchangia fedha kwa utaratibu wa papo kwa papo kila mara wanapougua au kuuguliwa katika kipindi ambacho hawana fedha.

Walengwa wa Mpango na nani?

Mpango unalenga wananchi wote ambao hawasajiliwa na mifuko mingine ya Afya na ambao hawapo katika sekta rasmi.

Manufaa ya kujiunga na CHF/TIKA

Miongoni mwa manufaa yanayopatikana kwa kujiunga na mfuko wa afya ya jamii ni yafuatayo:-

  • Watu sita katika kaya watapata matibabu katika vituo vya afya na zahanati za jirani kwa mwaka mzima kwa gharama Tsh. 10,000 pekee.
  • Familia inapata uhakika wa kupata matibabu muda wote ndani ya mwaka mzima hata wakati fedha haipo
  • Kaya inaepuka na malipo ya papo kila mwanakaya anapougua.
  • Kaya iliyo na wanakaya zaidi zaidi ya sita wanafursa ya kulipia waliozidi katika idadi hiyo.

Makundi mengine yaliyo na fursa ya kujiunga na CHF/TIKA

Wanavyuo na wanafunzi walio masomoni na hawajasajiliwa katika mifuko mingine ya bima ya afya.

Wapi utajiunga/Kujiandikisha?

Kila mkuu wa kaya afike katika kituo cha afya au zahanati iliyo jirani asajiri na kupewa kadi itakayowezesha kaya yake kutibiwa kila wanapougua.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAILI. October 24, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Uzinduzi wa kliniki ya utoaji huduma kwa watoto wenye tatizo la miguu kifundo

    September 03, 2020
  • Taarifa ya vikao vya kisheria katika Halmashauri ya Wilaya ya Makete

    February 25, 2020
  • UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2019

    October 08, 2019
  • MWENGE WA UHURU MAKETE 2019

    September 19, 2019
  • Angalia zote

Video

Naibu Waziri wa elimu akiwa chuo cha ualimu Tandala
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • KITULO FM BLOG
  • BEMIS
  • FFARS
  • HIMS
  • TAARIFA KUHUSU MAPATO (LGRCIS)

Kurasa Mashuhuri

  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • FFARS
  • Ikulu
  • CHF-IMIS DEV

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    MAKETE DISTRICT COUNCIL

    Sanduku la barua: P.O.BOX. 6 Makete, Njombe Tanzania

    simu: +255 262 740016

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@maketedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@2016. Haki zote zimehifadhiwa